Friday, March 13, 2015

PENNY ADAIWA KUNYWA SUMU KISA MWANAUME

MTANGAZAJI maarufu Bongo na aliyekuwa mpenzi wa Nasibu Abdul ‘Diamond’, Penniel Mungilwa ‘Penny’ amedaiwa kunywa sumu kufuatia kunyang’anywa bwana na shosti yake aliyefahamika kwa jina la Diana.
Mtangazaji maarufu Bongo na aliyekuwa mpenzi wa Nasibu Abdul ‘Diamond’, Penniel Mungilwa ‘Penny’.

WEMA: MUME WA ZARI ANATAKA KUNIOA

MAMBO hadharani! Supastaa wa Bongo, Wema Sepetu ‘madam’ ameanika siri zilizojificha nyuma ya pazia kati yake na aliyekuwa mume wa mwanamuziki nyota wa Uganda, Zarina Hassan ‘Zari’, Ivan Semwanga, kuwa anataka kumuoa, Risasi Jumamosi lina full stori.
Supastaa wa Bongo Movie, Wema Sepetu ‘madam’.

NJEMA ANASWA WIZI WA PESA MTANDAONI

JAMAA aliyetambulika kwa jina moja la Jacob, mkazi wa Majengo wilayani Misungwi, Mkoani Mwanza, amejikuta yuko mikononi mwa polisi wakati akifanya jaribio la wizi wa fedha sh. 70, 000 kupitia huduma za fedha za mtandao wa simu.
Kijana Jacob anayedaiwa kuiba kwa kutumia mtandao.

Friday, August 15, 2014

BABA AMBAKA MWANAYE WA KUMZAA AKITAFUTA UTAJIRI



Sumbawanga. Polisi wilayani hapa inamshikilia mkazi wa Kijiji cha Lwanji, Bonde la Ziwa Rukwa, Edwin Kachele (30) kwa tuhuma ya kumbaka binti yake mwenye umri wa miaka 11 kwa kile kinachodaiwa kuwa ni imani za kishirikina.

MUME WA MTU NAYE NI SUMU, ONA MWANAMKE ALIVYOHARIBIWA USO NA MAFUTA YA MOTO!

Mbuva, akiwa na majeraha usoni baada ya kumwagiwa mafuta ya moto.
Mbuva, akiwa na majeraha usoni baada ya kumwagiwa mafuta ya moto.
MWANADADA aliyefahamika kwa jina moja la Mbuva, mkazi wa Gongo la Mboto jijini Dar, hivi karibuni amejikuta akiharibiwa uso wake kwa kumwagiwa mafuta ya moto na shosti wake aitwaye Mama Sofia, kisa kikidaiwa ni mume wa mtu.

WEMA AJIBU MAPIGO YA DIAMOND, ASEMA HAMPENDI HALIMA KIMWANA

     


Wema Sepetu a.k.a Beautiful Onyinye amekula kiapo cha kumchukia dada wa hiyari wa mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnum’, Halima Kimwana ambaye wamekuwa na bifu kwa kipindi kirefu huku sababu zikiwa hazijulikani.

Thursday, August 14, 2014

PENZI LA WEMA & DIAMOND LAFIKIA MWISHONI, DIAMOND AMPA DONGO WEMA


STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' amemtupia vijembe mpenzi wake Wema Sepetu kupitia ukurasa wake wa Instagram usiku huu akionekana kuchukizwa na tabia ya staa huyo kupenda maisha ya starehe zisizo na faida.