Saturday, August 9, 2014

VIDEO NA PICHA; MZEE WA MICHEPUKO SIO DILI EPHRAIM KIBONDE AKAMATWA NA POLISI!!

Akitaitiwa na trafikiMtangazaji maarufu wa kipindi cha Jahazi cha Clouds FM, Ephrain Kibonde leo ameshuhudia jinsi ambavyo mkono wa sheria ulivyo mrefu hata kwa mtu maarufu kama yeye alipojikuta kwenye wakati mgumu baada ya kusababisha ajali na kujaribu kukimbia. CHEKI VIDEO YAKE HAPA
                        

No comments:

Post a Comment