Thursday, July 31, 2014

TUNDA MAN APIGIWA SIMU NA FREEMASON, AANGUKA NA KUZIMIA, SOMA ZAIDI MKASA HUU

Memba wa Kundi la Tip Top Connection, Khalid Ramadhan ’Tunda Man’ amekutwa na mauzauza baada ya kupokea simu yenye namba zinazodaiwa kuwa za ajabu na kumsababishia atokwe damu puani, mdomoni na kupooza upande mmoja.

 

Wednesday, July 30, 2014

UINGEREZA KUANZA KUTUMIA MAGARI BILA DEREVA MWAKANI

Serikali ya Uingereza imetangaza kuwa itaziruhusu gari zisizokuwa na madereva barabarani ifikapo mwezi Januari mwakani.

UNDANI WA BIFU LA RAY NA CHIKI

BAADA ya kuibuka sintofahamu kati ya waigizaji wa Bongo Movies, Salum Mchoma ‘Chiki’ na Vincent Kigosi ‘Ray’, Chiki ameibuka na kuzungumzia ishu hiyo.
 

NDOA YA LUCY KOMBA MIZENGWE, CHANZO CHETI CHA UKIMWI

HUKU akiwa kwenye vikao vya maandalizi ya harusi na Mzungu, staa wa filamu Bongo, Lucy Francis Komba (pichani na mchumba wake), amejikuta katika wakati mgumu baada ya habari kudai kwamba, mchumba wake huyo amemwambia ili ndoa ifungwe lazima aoneshe cheti cha kipimo cha Ukimwi kwanza.
 

PICHA; DIAMOND PLATNUMZ APELEKA TUZO TANDALE!


 
 Mwamuziki wa Kizazi Kipya,Naseeb Abdul (Diamond Platnumz ) akiwa amezungukwa na Mashabiki ambao wakati alipota katika barabara ya kwa mtogole kupeleka tuzo yake kwa mama yake ambaye anaishi Tandale kwa Mtogole   jijini Dar es Salaam jana akitokea nchi Marekani alikopata Tuzo ya AFRIMMA 2014.Picha na Humphrey Shao.

BREAKING NEWS!! BASI LA MORO BEST LAPATA AJALI, LAUA WATU 20


 

MAPYA YAIBUKA KUHUSU SAKATA LA KUTUPWA VIUNGO VYA BINADAMU

SAKATA  la kutupwa kwa viungo vya binadamu  lililofanywa na Chuo Kikuu cha Tiba cha Kimataifa cha IMTU kilichopo Mbezi jijini Dar,  linadaiwa kuikumba Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) baada ya tanuru linalotumika kuteketeza viungo vya binadamu kuharibika kwa miezi sita sasa.
 

SANGOMA AKATA NYETI ZA MTOTO MDOGO

NI jambo lililowaacha midomo wazi madaktari na wauguzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), jijini Dar es Salaam ambapo mtoto Almasi mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi kumi (pichani akiwa na muuguzi) kufikishwa hospitalini hapo akiwa amekatwa nyeti na mtu aliyedaiwa ni mganga wa kienyeji ‘sangoma’ na kuipeleka kusikojulikana.
 

MTANZANIA ANAYESAKWA KWA KESI YA MAUAJI AONESHA JEURI YA FEDHA

WAKATI akisakwa kwa udi na uvumba na serikali ya Tanzania ili kuunganishwa katika kesi ya mauaji jijini Dar es Salaam, mfanyabiashara maarufu nchini, Alex Massawe anadaiwa kufanya jeuri ye fedha nchini Afrika Kusini ‘Sauzi’.

                     Mfanyabiashara maarufu nchini, Alex Massawe akiwa ndani ya gari.

VIONGOZI WA CHUO NA HOSPITALI YA IMTU WAFIKISHWA MAHAKAMANI


 

MR.NICE NA SIRI YA KUFILISIKA KWAKE,ATOA NENO KWA DIAMOND

MKONGWE wa muziki wa kizazi kipya, Lucas Mkenda ‘Mr Nice’ ameibuka na kufunguka kuwa siri ya kufilisika kwake ni kupenda kwake sifa kutoka kwa wapambe na matumizi mabaya ya fedha alizokuwa akiziingiza.
 

GARI LA MSANII DUDE LAKAMATWA KWA UJAMBAZI


GARI la muigizaji maarufu wa filamu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ limekamatwa na Polisi jijini Dar es Salaam likihusishwa na tukio la ujambazi linalodaiwa kutokea Kijitonyama Mpakani usiku wa saa 5.15 Julai 21 mwaka huu.

MSANII MWINGINE WA BONGO AKAMATWA CHINA!

 
HUKU modo maarufu Bongo, Jacqueline Fitzpatrick Cliff ‘Jack Patrick’, akisota jela nchini China kwa skendo ya kukamatwa na madawa ya kulevya (unga), mrembo mwingine ambaye aliwahi kujaribu kuchomoka kisanii kwenye muziki wa Kizazi Kipya almaarufu kwa jina la Winnie Mandela, naye amenaswa na polisi nchini humo.

Monday, July 28, 2014

MAJINA YA WALE WALIOCHAGULIWA NAFASI ZA KAZI UHAMIAJI NA MAJINA YA NDUGU ZAO!!

Matokeo ya Usaili wa nafasi za kazi Uhamiaji yaliyotolewa katika magazeti mbalimbali mwezi Julai, 2014 yameonesha kuwa katika dara hiyo watanzania wengine mbali ya watoto au ndugu wa wafanyakazi wa idara hiyo hawawezi kupata ajira ndani ya idara hiyo ya Serikali kirahisi na hiyo inatokana na ukweli kwamba majina ya wengi walioitwa kazini ni watoto au ndugu wa wafanyakazi wa idara hiyo kama jinsi majina yanavyoonekana hapa chini:

MKE WA MSANII WA VICHEKESHO KINGWENDU ABAKWA!!

 
MKE  wa  Kingwendu  ambaye  ni  muigizaji  maarufu  wa  filamu  za  vichekesho  nchini  amefanyiwa  kitendo  kibaya  cha  ubakaji  na  mwanaume  aliyefahamika  kama  Upunguvuku  katika  pagala  moja  huko  Mbagala  Kingugi  kwa  Kisauti.

SERIKALI YASITISHA AJIRA MPYA KATIKA IDARA YA UHAMIAJI KUTOKANA NA UPENDELEO WA KINDUGU

CHEKI HII; MAAJABU YA MCHEZO WA SOKA WA KENGELE KWA VIPOFU

 
“Kabla ya kuanza mechi, kocha unatakiwa kumchukua mchezaji mmoja mmoja na kumzungusha eneo zima la uwanja kwa dakika 30, tunafanya hivyo ili kumjengea mchezaji hali ya kuzoea mazingira ya uwanja kabla ya kucheza,” anasema kocha wa mpira wa kengele, Hashiru Tembo

Sunday, July 27, 2014

MASTAA WASUSIA 40 YA MAREHEMU GEORGE TYSON


Jamani! Katika hali ya kushangaza, mastaa wa filamu Bongo wamesusia kumbukumbu ya siku 40 ya aliyekuwa muongozaji maarufu wa filamu nchini, George Otieno ‘Tyson’ aliyefariki dunia kwa ajali Mei 31, mwaka huu.

MKE WA NAIBU WAZIRI MKUU ATEKWA NYARA!!!

Wanajeshi wa Cameroon

BAHATI BUKUKU APATA AJALI NA KUUMIA VIBAYA

NI kweli ajali haina kinga! Nyota wa nyimbo za Injili Bongo, Bahati Lusako Bukuku ameumia mgongo na maeneo kadhaa ya mwili (nusu kifo) kiasi cha kushindwa kukaa, kusimama wala kutembea kufuatia ajali mbaya ya gari iliyotokea kwenye eneo la Ranchi ya Narco wilayani Kongwa, Dodoma saa tisa usiku wa kuamkia Jumamosi, Ijumaa Wikienda lina undani wa mkasa mzima. 

SAKATA LA KUOKOTWA VIUNGO VYA BINADAM; MUHAS YASEMA: Tunatumia maiti 25 kwa mwaka kufundishia


Wakati sakata la kuokotwa kwa viungo vya binadamu likiendelea kutikisa nchi, Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS), kimesema kuwa hutumia maiti 25 kwa kuwafundishia wanafunzi kila mwaka.

Saturday, July 26, 2014

Friday, July 25, 2014

ANGALIA VIDEO MPYA YA BARNABA ALIYOONEKANA AMESHOOT NA MKE WAKE NDIO HII

Screen Shot 2014-07-26 at 2.30.12 AM

THE INSTAGRAM PARTY IS ON 2/8/2014 AT ESCAPE 1 BEACH CLUB PLEASE CHECK THIS OUT SIO YA KUKOSA HII U KNOW!!THE INSTAGRAM PARTY IS ON 2/8/2014 AT ESCAPE 1 BEACH CLUB PLEASE CHECK THIS OUT SIO YA KUKOSA HII U KNOW!!


THE INSTAGRAM PARTY IS ON 2/8/2014 AT ESCAPE 1 BEACH CLUB PLEASE CHECK THIS OUT SIO YA KUKOSA HII U KNOW!!

TANGAZO MAALUM LA NAFASI ZA KAZI 5 ZA UHASIBU SIMBA SPORTS CLUB WANAHITAJIKA HARAKA SANA.

TANGAZO MAALUM LA NAFASI ZA KAZI 5 SIMBA SPORTS CLUB WANAHITAJIKA HARAKA SANA.

"YESU KRISTO HATORUDI TENA"-MSEMAJI WA VATICAN KANISA KATOLIKI ATANGAZA RASMI

Msemaji wa Vatican (Roman Catholic) ametangaza rasmi leo kwamba ujio wa pili wa Yesu, mtoto wa pekee wa Mungu, unaweza usitokee tena, lakini amewahimiza wafuasi wa kanisa Katoliki kuendelea na imani yao, bila kujali taarifa hiyo.

DIDIER DROGBA AREJEA CHELSEA, ASAINI MWAKA MMOJA

MFANYAKAZI WA NDANI ABAKWA HADI KUFA HUKO DODOMA,ALIPOTEA TANGU JUMAMOSI ILIYOPITA


Thursday, July 24, 2014

TIMBWILI GESTI! MJOMBA AFUMANIWA NA MKE WA MPWA WAKE


TIMBWILI la aina yake lilifumuka ndani ya gesti moja iliyopo Mbezi Afrikana jijini Dar es Salaam (jina kapuni), kufuatia kijana aliyefahamika kwa jina moja la Kelvin kumkuta chumbani mtu aliyedai ni mjomba wake, Joseph akiwa na mkewe wa ndoa, Emiliani.



MABAKI YA NDEGE YA ALGERIA YAONEKANA

Mabaki ya ndege iliyopotea ikiwa na watu 116 njiani kutoka Burkanafaso kwenda Algers yamepatikana nchini Mali.

ALIYEBADILI DINI SUDAN AKUTANA NA PAPA


HII NDIYO SARAFU YA 500 ITAKAYOANZA KUTUMIKA MWEZI AUGUST



MAZITO 10 YAIBUKA: VIUNGO VYA BINADAMU KUNASWA DAR!

Lile sekeseke la viungo vya binadamu kukutwa kwenye dampo jijini Dar es Salaam limechukua sura mpya huku mambo mazito 10 yakiibuliwa.