
Sumbawanga. Polisi wilayani hapa inamshikilia mkazi wa Kijiji
cha Lwanji, Bonde la Ziwa Rukwa, Edwin Kachele (30) kwa tuhuma ya
kumbaka binti yake mwenye umri wa miaka 11 kwa kile kinachodaiwa kuwa ni
imani za kishirikina.

![]() |
| Mbuva, akiwa na majeraha usoni baada ya kumwagiwa mafuta ya moto. |




![]() |
| Akitaitiwa na trafikiMtangazaji maarufu wa kipindi cha Jahazi cha Clouds FM, Ephrain Kibonde leo ameshuhudia jinsi ambavyo mkono wa sheria ulivyo mrefu hata kwa mtu maarufu kama yeye alipojikuta kwenye wakati mgumu baada ya kusababisha ajali na kujaribu kukimbia. CHEKI VIDEO YAKE HAPA |
![]() |
| Sunday Bekunda |
![]() |


